Hapo zamani mtu mmoja aliokota kinda la tai wakati akitembea porini. Alichukua kinda hilo mpaka nyumbani na kuliweka katika banda la kufugia vifaranga vya kuku. Kinda hilo la Tai lilijifunza kula na kuishi kama kuku.
Read MoreWelcome to our blog page
Hapo zamani mtu mmoja aliokota kinda la tai wakati akitembea porini. Alichukua kinda hilo mpaka nyumbani na kuliweka katika banda la kufugia vifaranga vya kuku. Kinda hilo la Tai lilijifunza kula na kuishi kama kuku.
Read MoreJICHO LA FIKRA ni jicho linaloona kwa upana wa zaidi ya uwezo wako , mfano ukifikiria kikombe aufikiriii tu kwamba kinatumika kwa kuwekea chai bali utawaza nini kilichotumika kutengenezea, na kwanini kinawekea chai tu na si mboga?
Read MoreNatumai msemo wa wenzetu wa magharibi usemao “Time is Money” si mgeni masikioni kwetu. Yawezekana kwamba msemo huo kwa tafsiri ya moja kwa moja, unamaanisha kwamba muda ni pesa. Lakini …
Read More